Posts

Showing posts from April, 2017

TAMBUA UWEPO WAKO KWA KUUNGANA NA MTUMISHI WA MUNGU MASUNGA

Image
TAMBUA UWEPO WAKO.   habar ya muda huu mpendwa unaesoma ujumbe huu. kutambua kitu alichokuumbia mungu hapa ulimwenguni inahitaji upeo wa ziada. watu wengi tumeshindwa kufika mafanikio kwasababu hatujui tupo hapa kwa kusudi gani. ninae rafiki mmoja alikuwa akipenda sana kuwa faza wa kanisa toka akiwa mdogo. alisoma kwa bidii sana na alipohitimu kidato cha sita kutokan na uwezo wak mkubwa katka kupambanua hoja waalimu wake walimshauri akasome sheria. kweli alichukua shahada ya sheria na akaajiriwa kama mwanasheria na benk moja kubwa hapa nchini. baadae akashauriwa na wenzake kuwa anauwezo mkubwa san kweny maswala ya uongoz hivyo aliamua kwenda kusoma shahada ya pili hii alisoma utawala na baadae akaajiriwa na taasisi moja isiyo ya kiserikali. hata hivyo alichotegemea kukipat eti kwakuwa na elimu kubwa hakukipata hatima yake mshahar haukutosha aliamua kuanza kuingia kweny mikopo. alinunua gar yake ya kwanza kwa mkopo hatimae akapat na kiwanja na ndoa ikafuata. jamaa maden yaliong...

Neno la leo 26/5/2016 YOSHUA 1;7

Image
*7 Uwe hodari tu na ushujaa mwingi, uangalie kutenda sawasawa na sheria yote aliyokuamuru Musa mtumishi wangu; usiiache, kwenda mkono wa kuume, au wa kushoto, upate kufanikiwa sana kila uendako.*

TIMBULO MFUASI (officail video) 2017

[https://m.youtube.com/watch?list=PLv5DbqfnbULkvBMMBnyDNHcEpFAZiMway&v=mEQrGirKxFg] [Timbulo - Mfuasi (Official Video) 2017 - YouTube] is good,have a look at it!

Breaking News: Simba Washinda Rufaa Dhidi ya Kagare Sugar

Image
Simba wameshinda rufaa yao dhidi ya Kagera Sugar na wamepewa point tatu baada ya kuibainika mchezaji wa kagera Sugar Mohammed Fakhi alicheza mechi ya Simba akiwa na kadi tatu za njano katika michezo dhidi ya Mbeya City, Majimaji, African Lyon hizo ndio mechi ambazo amepata kadi za njano😄😄

LEO KUAPISHWAAA KWA TUME YA UFATILIAJI SKENDO ZA MADINI

Image

Fahamu Tabia za Wanawake Wanaopenda Sana Pesa  Mapenzi

Image
1. Huwa na tamaa ya mambo yasiyo ya lazima.  Wanawake wengi wapendao pesa huwa na tamaa ya mambo yasiyo ya lazima, mambo ambayo hayagusi maisha moja kwa moja. Hata nilipokuwa chuo wanawake wengi waliokuwa wanapenda pesa Sana walikuwa na tamaa za kusikitisha ambazo zilipofusha fahamu zao.  Unakuta mwanamke anaomba laki tano kwaajili tuu ya kununua Simu nyingine kubwa wakati akiwa bado na simu mpya.  Katika maisha ni bora uingie jehanam kuliko kukutana na mwanamke mpenda pesa kwani utateseka Sana kwa ajili yake na bado hata ona msaada wako.  Sio rahisi kujenga familia bora na mwanamke mpenda pesa.  2. Wengi hutoka familia masikini.  Wanawake wengi Kama sio wote ambao hupenda pesa kuliko utu wao hutoka familia kame Sana. Ukame wa kiuchumi mpaka kiakili. Wengi wao huweza kutoa hata rushwa ya ngono ili tuu wapate pesa wasijue miili yao inathamani zaidi ya zile karatasi.  Mtu ni masikini unandoto za kuwa na mwanaume mwenye pesa nani alikuambia wenye p...