Breaking News: Simba Washinda Rufaa Dhidi ya Kagare Sugar

Simba wameshinda rufaa yao dhidi ya Kagera Sugar na wamepewa point tatu baada ya kuibainika mchezaji wa kagera Sugar Mohammed Fakhi alicheza mechi ya Simba akiwa na kadi tatu za njano katika michezo dhidi ya Mbeya City, Majimaji, African Lyon hizo ndio mechi ambazo amepata kadi za njano😄😄

Comments

Amani Fredy

SUA: SIFA ZA KUJIUNGA NA CHUO KWA KILA KOZI 2017/2018

RATIBA YA TIGO FIESTA 2017 NA LIST YA WASANII WATAKAOKUWEPO (TUMEKUSOMA)